R.I.P BANZA STONE
Jina lake kamili ni Ramadhan Masanja.
mwanauziki maarufu Tanzania leo hii hatunae tena duniani kwa mujibu wa kaka yake, Juma masanja.
banza amefariki nyuman kwao sinza mchana huu
mungu ailaze mahala pema duniani
ni haki yako kukuletea habari kwa muda muafaka.
No comments:
Post a Comment