17 July 2015

MZEE YUSUPHU ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE KISIWANI ZANZIBAR


 

Mwimbaji huyo wa taarabu hivi karibuni alitangaza kuwa anania ya kugombea ubunge.


Na sasa ameshatimiza kwani ameshachukua fomu kupitia chama tawala cha CCM

Jimbo ambalo analiwakilisha ni jimbo la fuoni


alituarifu mzee kwenye ukurasa wake wa instagram 
chanzo Milladayo.com 

No comments: