Baada ya bibie zari aka mama tiffa kujiona hana kazi ya kufanya basi ndipo alipo amua kujipiga maselfie na kutufikia MMANGA TEAM, basi nimeamua kukusogezea mtu wangu wa karibu.
Kama ilikuwa watu wanasema tu kuwa kiba atafanya kazi na neyo msanii wa marekani basi kiba kaamua nayeye kufunguka kupitia account yake kwa kusema hivi.
Haya kayaandika Ali Kiba "I Am Truly Excited To Be Working With An Artist That I Have Great Respect For ...Not Only As A Multi Grammy Award Winning Musician But An Excellent Song Writer, Record Producer, Dancer & Actor"
Baada ya platnumz kueleza kuwa anatarajiwa kuitwa baba hivi karibuni,na kusema kuwa mungu kama atajaalia atakuwa mtoto wa kike.
basi leo hii ameamua kushare video hii ya second 15 akionesha jinsi chumba cha mwanae jinsi walivyo kiandaa,huku diamond akiwa ameshikilia viatu vya mtoto mtarajiwa.
inasemekana wema sepetu ndo aliyevujisha clip hii sikiliza mazungumza mazungumzo yao haya hapa.
Katika sauti hiyo wema asikika kuonesha msimamo wa kutomkubali nuhu kwa kigezo kuwa ni shemeji yake.Tatoo za nuhu za tajwa.
Sikiliza maswaga ya nuhu mziwanda halafu tupia maoni yako hapo umeyaonaje hayo maswaga.