Showing posts with label MICHEZO. Show all posts
Showing posts with label MICHEZO. Show all posts

25 October 2016

MAJINA 15 YA WANAOWANIA BALLON D OR 2016

GENERAL NEWS,BURUDANI,MICHEZO,MASTAA BONGO,VIDEO



Majina 15 ya wachezaji wanaowania Ballon d'Or 2016 yaliyotolewa na France Football mpaka sasa. Majina mengine 15 kufuatia.
Sergio Aguero (Manchester City), Pierre-Emerick Aubameyang (Borussia Dortmund), Gareth Bale (Real Madrid), Gianluigi Buffon (Juventus), Cristiano Ronaldo (Real Madrid), Kevin de Bruyne (Manchester City), Paulo Dybala (Juventus), Diego Godin (Atletico Madrid), Antoine Griezmann (Atletico Madrid), Gonzalo Higuain (Juventus), Zlatan Ibrahimovic (Manchester United), Andres Iniesta (Barcelona), Koke (Atletico Madrid), Toni Kroos (Real Madrid), Robert Levandowski (Bayern Munich). Wewe ungempa nani tuzo hiyoo kama mdau wa nguvu.

HANS WA YANGA NA KUFUKUZWA YANGA

GENERAL NEWS,BURUDANI,MICHEZO,MASTAA BONGO,VIDEO




ANAFUKUZWA KWASABABU ALIWAKATALIA WAKUBWA KUMRUDISHA ANKO NGASSA ALIPOVUNJA MKATABA WAKE NA FREE STATE STARS.
Namnukuu Hans 'siwezi kukubali Ngassa asajiliwe alafu tuwapoteze wachezaji watatu' akimaanisha (msuva,Juma Mahadhi na Kaseke) wangeweza kupoteza mwelekeo wao kama Ngassa angesajiwa na Yanga,kiufundi Ngassa alikuwa haitajiki kwenye timu kwasababu ya uwepo wa hao vijana watatu.baada ya kuwakatalia walipanga njia ya kumtoa Kocha Hans pale yanga pia zipo sababu kibao hata kwenye mechi ya simba na yanga kumweka msuva na chirwa nje na kumpanga Mahadhi pia yote ni shinikizo la viongozi.
Hans ni kocha ambae hakika Yanga na na mpira wa Tanzania kwa ujumla tutamkumbuka sana.

22 October 2016

ALIYO YAULIZA MBWANA SAMATA INSTAGRAM KUHUSU FARID

GENERAL NEWS,BURUDANI,MICHEZO,MASTAA BONGO,VIDEO

NI baada ya kuona kimya kuhusu swala la mchezaji wa AZAM FC Farid na ishu yake ya kwenda kufanya majaribio spain na kufanikiwa.

hivi ndivyo alivyo uliza samatta kwenye account yake ya instagram.

Tokeo la picha la faridi musa


samagoal77Asalam aleikhum? Niliposikia farid anaenda Spain kwa majaribio nilipata furaha sana kwa Kuwa niliamini kwa kipaji alichonacho asingeweshindwa majaribio ktk club ile aliyokuwa anakwenda na ndivyo ilivyokuwa furaha iliongezeka baada ya kusikia azam wamemruhusu kwenda kuanza Maisha ayo mapya ya soka ulaya,kwa nini niwe na furaha kwa sababu naamini maendeleo ya timu yetu ya taifa yatapiga hatua kwa haraka tukiwa na wachezaj wengi wanaocheza soka la kulipwa nje ya tanzania,(imani yangu)lakini kadri siku zinavyokwenda nimekuwa simsikii farid akiwa ktk club yake mpya na habari zilizopo ni Kuwa bado yuko tanzania,je ni kwa nini bado yupo tanzania wakati kila kitu kilishakwisha nani ana jibu la swali hili? Tafadhari?kuna nini nyuma ya pazia🤔

1 October 2015

NYOSSO HATIMAE AFUNGIWA MIAKA 2 NA FAINI JUU

GENERAL NEWS,BURUDANI,MICHEZO,MASTAA BONGO,VIDEO


Image captionJuma Said apigwa marufuku ya miaka 2
Nahodha wa klabu ya Tanzania ya Mbeya City, Juma Said maarufu ‘Nyosso’ amepigwa marufuku ya kutocheza kwa muda wa miaka miwili baada ya kamati inayosimamia ligi kuu ya Tanzania kupokea ripoti ya mechi za ligi hiyo zilizochezwa na kumpata na hatia ya utovu wa nidhamu.
Mchezaji huyo pia ametozwa faini ya shilingi milioni mbili ya Tanzania (2,000,000) kwa kitendo kinachokiuka nidhamu za soka ikiwemo kumdhalilisha mchezaji wa mabingwa wa kombe la CECAFA mwaka huu, Azam FC, John Bocco.
Nahodha huyo wa Mbeya, alishiriki katika kitendo hicho katika mchuano wa ligi kati ya timu yake na Azam ulioandaliwa kwenye uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam.
Kufikia sasa timu yake ya Mbeya city, haijatoa taarifa kuhusu uamuzi wa bodi hiyo.
Hata hivyo, kwenye taarifa kwa umma, Mbeya Fc imesema kuwa katibu wake mkuu ameiagiza idara ya mawasiliano na mahusiano ya klabu kulichunguza tukio hilo kwa kutazama rejea na mazingira iliyopelekea tukio hilo.
Mchezaji huyo pia anatarajiwa kukutana na bodi hiyo kwa uchunguzi zaidi kuhusu tukio hilo.
Mbeya FC imepeana makataa ya saa 86 kuanzia jana ili kukamilisha uchunguzi na akuwasilisha ripoti kamili.
Mapema mwaka huu mchezaji huyo alihudumia marufuku ya mechi nane kwa kufanya tendo kama hilo.

27 August 2015

JEZI MPYA NYEUSI YA MANCHESTER UNITED

manchesterunited
Back with @adidasUK. Back in Europe. Back in black. #BeTheDifference



MSIMAMO WA LIGI EPL HUU HAPA

GENERAL NEWS,BURUDANI,MICHEZO,MASTAA BONGO,VIDEO


Premier League

PosTeamPWDLGSGA+/-Pts
1Manchester City FCManchester City330080+89
2Leicester City FCLeicester City321074+37
3Liverpool FCLiverpool321020+27
4Manchester United FCManchester United321020+27
5Crystal Palace FCCrystal Palace320164+26
6Swansea City AFCSwansea City312053+25
7Everton FCEverton311154+14
8Norwich City FCNorwich City311155+04
9Arsenal FCArsenal311123-14
10Chelsea FCChelsea311157-24
11West Ham United FCWest Ham United310266+03
12Watford FCWatford303022+03
13AFC BournemouthAFC Bournemouth310245-13
14Aston Villa FCAston Villa310223-13
15Stoke City FCStoke City302134-12
16Tottenham Hotspur FCTottenham Hotspur302134-12
17Newcastle United FCNewcastle United302124-22
18Southampton FCSouthampton302125-32
19Sunderland AFCSunderland301248-41
20West Bromwich Albion FCWest Bromwich Albion301226-41
Last Updated: Monday, August 24, 2015
Table Key
Positions: Champions League: 1, 2, 3, Champions League qualifiers: 4, Europa League: 5, Relegation: 18, 19, 20.