DROGBA ANG'AA
Staika wa zamani wa chelsea Didier Drogba ,37,amepata ofa ya kutaka kusajiliwa na timu za ligi ya Marekani, Major League .
KAtika msimu huu wa kiangazi , lakini klabu tajiri nchini Qatar pia zinaonesha nia za kumtaka, umeripoti mtandao wa ESP.
Drogba aliachana na chelsea mwaka huu baada ya kumaliza kwa msimu uliopita wa ligi kuu England.

No comments:
Post a Comment