19 July 2015

MAN UNITED YAJITOSA KWA PEDRO

 

Klabu ya man u imepanga kumchukua kiungo wa barcelona kwa kitita cha pauni millioni 22.

kwa mujibu wa gazeti laDaily mirror la ungreza , man u wameonesha nia ya kumtaka kiungo huyo mwenye miaka,27 ambaye pia anawaniwa na chelsea 

No comments: