MAN UNITED YAJITOSA KWA PEDRO
Klabu ya man u imepanga kumchukua kiungo wa barcelona kwa kitita cha pauni millioni 22.
kwa mujibu wa gazeti laDaily mirror la ungreza , man u wameonesha nia ya kumtaka kiungo huyo mwenye miaka,27 ambaye pia anawaniwa na chelsea
No comments:
Post a Comment