16 July 2015

   Al shabab wshambuliwa viongozi wao 2 wauawa kwa bomu


Viongozi wawili wa kundi la kiislam wameuawa kwenye mashambulio ya mabomu ya angani

watu waishio katika mji wabaardhere olioko kusini mwa nchi hiyo wamesema walisikia milipuko asubuhi ya leo katika eneo hilo

mabomu hayo yaliangushwa kutoka angani na ndege za kivita na wanajeshi wamarekani


 

No comments: