JOSEPH HAULE aka prf jay mpaka sasa amechukua fomu na kurudisha ya kugombea ubunge wa jimbo la mikumi.
leo nimeamua kukupa maphoto makali yake mwanasiasa huyo zicheki kisha toa maoni yako.

Hapa akilonga kupata uzowefu wa siasa na mh lowassa

hapa akiwa kwenye kujinadi kwa wananchi wake


Hapa akiwa kwenye mkutano wa chama chake cha chadema.


hapa akiwa anarudisha fomu
No comments:
Post a Comment