15 August 2015

BENDERA YA MAREKANI YAPANDISHWA TENA CUBA BAADA YA NUSU KARNE

GENERAL NEWS,BURUDANI,MICHEZO,MASTAA BONGO,VIDEO

Ubalozi wa marekani umefunguliwa huko cuba baada ya miaka 50 kufungwa, na siku hiyo ndiyo walio ipandisha bendera ya marekani katika ubalozi

John Kerry ndiye aliyekuwa mweheshimiwa mgeni rasmi.katika sherehe hiyo.

Sherehe hizo zilifanyika mjini Havana.

Rais Obama na mwenzake wa cuba Raul cstrol ndiyo waliokubaliana kuurudisha ubalozi huo mwaka jana.


No comments: