19 July 2015

VIDAL vs GOTZE Bayern

 

Kuna mazungumzo baina ya timu mbili beyrn munch na juventus;

Bayern imeonesha nia ya kumtaka kiungo wa juve, arturo Vidal,lakini klabu hiyo ya Italia imekata na kusema wa fanye mabadilishano kati ya vidal wa juventus na Gotze wa barcelona.

Mtangao wa Tuttosport umesema kama mambo yataenda sawa biashara hiyo itafanyika muda wowote katika kipindi hiki cha kiangazi cha usajili. 

No comments: