STERLING AWAOMBA RADHI LIVERPOOL
Raheem sterling amewaomba radhi mashabiki wa liverpool kwa kitendo chake cha kuondoka bila ustaarabu.
lakin amesisitiza kuwa ataifanyia makubwa timu yake mpya ya man city.
sterling 20,aliyehamia manchester city mapema wiki hii kwa kitita cha pauni milioni 49 ambacho kimemfanya kuweka rekodi yakuwa mchezaji mwingereza ghali zaidi ,hakuondoka kistaarabu katika kilbu yake ya Anfield.
Raheem sterling amewaomba radhi mashabiki wa liverpool kwa kitendo chake cha kuondoka bila ustaarabu.
lakin amesisitiza kuwa ataifanyia makubwa timu yake mpya ya man city.
sterling 20,aliyehamia manchester city mapema wiki hii kwa kitita cha pauni milioni 49 ambacho kimemfanya kuweka rekodi yakuwa mchezaji mwingereza ghali zaidi ,hakuondoka kistaarabu katika kilbu yake ya Anfield.
No comments:
Post a Comment