19 July 2015

AZAM FC YAANZA VIZURI

 

Ni katika kombe la Kagame Azam fc pindi  ilipocheza na dhidi ya KCCA katika uwanja wa Taifa azam iliibuka na ushindi wa bao 1-0.

John Boko ndiye aliyefunga bao dakika ya 12 mara baada mchezo kuanza,pasi ikitokea kwa Shomari kapombe

No comments: