GENERAL NEWS,BURUDANI,MICHEZO,MASTAA BONGO,VIDEO
Wachezaji wa Manchester United, Juan Mata na Ashley Young wamejikuta wakivishangaa viatu vya beki wa kati wa timu hiyo Eric Bailly, ambavyo kwa huku bongo tunaviita “Chachacha” na kumfanyia utani wa kuvituma kwenye mitandao ya kijamii.Viatu hivyo walivipost katika mtandao wa instagram.
No comments:
Post a Comment