25 October 2016

HANS WA YANGA NA KUFUKUZWA YANGA

GENERAL NEWS,BURUDANI,MICHEZO,MASTAA BONGO,VIDEO




ANAFUKUZWA KWASABABU ALIWAKATALIA WAKUBWA KUMRUDISHA ANKO NGASSA ALIPOVUNJA MKATABA WAKE NA FREE STATE STARS.
Namnukuu Hans 'siwezi kukubali Ngassa asajiliwe alafu tuwapoteze wachezaji watatu' akimaanisha (msuva,Juma Mahadhi na Kaseke) wangeweza kupoteza mwelekeo wao kama Ngassa angesajiwa na Yanga,kiufundi Ngassa alikuwa haitajiki kwenye timu kwasababu ya uwepo wa hao vijana watatu.baada ya kuwakatalia walipanga njia ya kumtoa Kocha Hans pale yanga pia zipo sababu kibao hata kwenye mechi ya simba na yanga kumweka msuva na chirwa nje na kumpanga Mahadhi pia yote ni shinikizo la viongozi.
Hans ni kocha ambae hakika Yanga na na mpira wa Tanzania kwa ujumla tutamkumbuka sana.

No comments: