Ikiwa ndo rekodi ya msimu huu 2015/16 lakini bado usajili unaendelea hatuwezi jua itakuaje mbeleni.
ila leo nimekuletea hawa wachache waliohamia matimu mengine wacheki.
angle di maria aliyetoka man u na kwenda psg kwa pauni 44m
Raheem srerling akiwa na timu yake mpya ya Man city akitokea liverpool kwa pauni 43.7m
aston villa ikimuuza benteke liver pool pauni 32.5m
vidal akitokea juventus kwenda bayern kwa pauni 29.5m
No comments:
Post a Comment