22 August 2015

NIMEKUSOGEZEA PHOTO ZA PROFESA JAY KATIKA HATAKATI ZAKE ZA SIASA

GENERAL NEWS,BURUDANI,MICHEZO,MASTAA BONGO,VIDEO
JOSEPH HAULE aka prf jay mpaka sasa amechukua fomu na kurudisha ya kugombea ubunge wa jimbo la mikumi.

leo nimeamua kukupa maphoto makali yake mwanasiasa huyo zicheki kisha toa maoni yako.

Embedded image permalink
Hapa akilonga kupata uzowefu wa siasa na mh lowassa
Embedded image permalink
hapa akiwa kwenye kujinadi kwa wananchi wake

Embedded image permalink

Embedded image permalink
Hapa akiwa kwenye mkutano wa chama chake cha chadema.
Embedded image permalink
Embedded image permalink
hapa akiwa anarudisha fomu

No comments: