24 August 2015

GARI GHALI ZAIDI DUNIANI 2015

GENERAL NEWS,BURUDANI,MICHEZO,MASTAA BONGO,VIDEO
Gari ghali zaidi duniani

Laykan haIPERSPORTY ndiyo kampuni ilio tengeneza gari hilo ambapo mpaka sasa imetengeneza magari 7 tuu.
Gari ghali zaidi duniani
Bei ya gari hilo ni Dola millioni 3.4.

Licha ya urembo wa nje gari hilo lina urefu wa mita 4.480 na upana 1.944

Injini yake ambayo inauwezo wa kubeba lita 3.7 ya mafuta, inauwezo wa kuongeza speed kutoka 0 mpaka 100 kwa sekunde 2.8

No comments: