Rais wa burundi piere nkurunziza
Hali imekua ikizidi kuzorota kila kukicha katika eneo la maziwa makuu.
Kuzorota kwa nchi hiyo na kutokuwa na hali ya usalama kumesababishwa na rais NKURUNZIZA kutangaza kugombea kwa muhula wa tatu ambao upinzani imepinga kwani ni kinyume na katiba inavyosema.
teyari nkurunziza ameshapita tena na kurudi madarakani kwa muhula wa tatu.
No comments:
Post a Comment