22 October 2016

ALIYO YAULIZA MBWANA SAMATA INSTAGRAM KUHUSU FARID

GENERAL NEWS,BURUDANI,MICHEZO,MASTAA BONGO,VIDEO

NI baada ya kuona kimya kuhusu swala la mchezaji wa AZAM FC Farid na ishu yake ya kwenda kufanya majaribio spain na kufanikiwa.

hivi ndivyo alivyo uliza samatta kwenye account yake ya instagram.

Tokeo la picha la faridi musa


samagoal77Asalam aleikhum? Niliposikia farid anaenda Spain kwa majaribio nilipata furaha sana kwa Kuwa niliamini kwa kipaji alichonacho asingeweshindwa majaribio ktk club ile aliyokuwa anakwenda na ndivyo ilivyokuwa furaha iliongezeka baada ya kusikia azam wamemruhusu kwenda kuanza Maisha ayo mapya ya soka ulaya,kwa nini niwe na furaha kwa sababu naamini maendeleo ya timu yetu ya taifa yatapiga hatua kwa haraka tukiwa na wachezaj wengi wanaocheza soka la kulipwa nje ya tanzania,(imani yangu)lakini kadri siku zinavyokwenda nimekuwa simsikii farid akiwa ktk club yake mpya na habari zilizopo ni Kuwa bado yuko tanzania,je ni kwa nini bado yupo tanzania wakati kila kitu kilishakwisha nani ana jibu la swali hili? Tafadhari?kuna nini nyuma ya pazia🤔

No comments: