MAANDALIZI YA BUSINESS PLAN ITAKAYOFANIKISHA BIASHARA YAKO
Maswali ambayo unatarajiwa uyajibu pale unapohitaji msaada wa kitaalamu katika kuandaa business plan yako.
Miongoni mwa maswali haya ni:
Miongoni mwa maswali haya ni:
1. Aina ya biashara unayotaka kufanya/Unayofanya?
2. Je, biashara yako ni mpya au ipo tayari inaendelea?
3. Kama ni mpya kabisa umeshaiundia chombo cha
kuiendesha, yaani umeshafanya usajili wa kampuni au jina la
biashara?
kuiendesha, yaani umeshafanya usajili wa kampuni au jina la
biashara?
4. Ni wapi unapokusudia kufungulia biashara yako?
5. Je, biashara yako unadhamiria kuiendesha/unaiendesha
kwenye jengo la kupanga au ni jengo lako mwenyewe?
kwenye jengo la kupanga au ni jengo lako mwenyewe?
6. Je, mtaji wa biashara yako ni shilingi ngapi na kati ya hizo
fedha taslimu ni kiasi gani na thamani ya vifaa ni kiasi gani?
fedha taslimu ni kiasi gani na thamani ya vifaa ni kiasi gani?
7. Je, katika huo mtaji ni kiasi gani ni fedha zako mwenyewe na
ni kiasi gani unatarajia kukipata kutoka kwa wawekezaji au
kama mkopo?
ni kiasi gani unatarajia kukipata kutoka kwa wawekezaji au
kama mkopo?
8. Unadhamiria kuajiri wafanyakazi na kama ndivyo
unadhamiria kuajri wangapi na kila mmoja unakusudia
kumlipa shilingi ngapi kaa mshahara?
unadhamiria kuajri wangapi na kila mmoja unakusudia
kumlipa shilingi ngapi kaa mshahara?
9. Kama ni biashara inayoendelea, je, biashara yako
imeandaliwa taarifa za fedha (mahesabu) za kila mwaka?
imeandaliwa taarifa za fedha (mahesabu) za kila mwaka?
10. Je, unazo taarifa muhimu za soko unalokusudia kuingia na
zile zinazowahusu washindani wako wa kibiashara?
zile zinazowahusu washindani wako wa kibiashara?
11. Je, unao mpango mkakati wa utekelezaji? (implementation
strategy)
strategy)
12. Je, ni mambo gani yanakufanya uamini kwamba biashara
yako itafanya vizuri kuliko wanavyofanya wapinzani wako
kibiashara?
yako itafanya vizuri kuliko wanavyofanya wapinzani wako
kibiashara?
13. Ni vitu gani vinakupa imani kuwa bashara yako ina uimara au
itakuwa na uimara? (strengths)
itakuwa na uimara? (strengths)
14. Ni vitu gani vinakusikitisha kwamba vinaweza kuwa ni udhaifu
(weaknesses) katika biashara yako?
(weaknesses) katika biashara yako?
15. Je, kuna fursa (opportunities) unaziona abazo ukizitumia
vizuri zitaongeza thamani ya biashara yako na kuifanya ikue
haraka?
vizuri zitaongeza thamani ya biashara yako na kuifanya ikue
haraka?
16. Je, ni mambo gani kwenye mazingira ya ndani na ya nje
ambayo unahisi kuwa usipokuwa makini yanaweza kutishia
uhai wa biashara yako (threats)
TAFAKARI CHUKUA HATUA
ambayo unahisi kuwa usipokuwa makini yanaweza kutishia
uhai wa biashara yako (threats)
TAFAKARI CHUKUA HATUA
No comments:
Post a Comment