4 August 2016

CHINA WAZINDUA BASI LA AINA YAKE

Basi hili sio la kawaida. mtu wangu wa heshima
Lina uwezo wa kubeba abiria 300 huku magari yakipita chini yake na hivyo kuepusha msongamano wa magari barabarari.
Sasa huu ni mfano wa kwanza ambao umefanyiwa majaribio kwenye mkoa wa Hebei nchini China.
Lina urefu wa mita 22 na upana wa mita 7.9.
Tayari serikali za Brazil, France, India na Indonesia zimeonyesha nia ya kutaka kununua basi hili ambalo limesanifiwa na wahandisi wa China.

No comments: