26 August 2015

MGOMBEA WA KIKE WA URAISI ASIYEJUA KUJIELEZEA UNAMJUAA?

GENERAL NEWS,BURUDANI,MICHEZO,MASTAA BONGO,VIDEO


Ni mgombea wa chama cha ACT ambaye na Bi Anna, pindi alipotembelewa na ITV na kuanza kuhojiwa na maswali yalikuwa hivi.

ITV-ni kipi kipaombele chako cha kugombea

bibie- hana jing'atang'ata tuuu

pia aliulizwa vipi anagombea urais wakati pia amechukuwa fomu ya ya kugombea ubunge,

bibie huyo pia alishindwa kujibu,


Nitaendelea kukusogezea habari kali zaidi usikose:)

No comments: