24 August 2015

KAMA ULIPITWA NA UFUNGUZI WA KAMPENI ZA CCM BASI NIMEKUSOGEZEA PICHA ZAKE

GENERAL NEWS,BURUDANI,MICHEZO,MASTAA BONGO,VIDEO
Ni ufunguzi ulio fanyika katika kiwanja cha jangwani ambapo mambo mengi yalifanyika kama magufuli kutoa ilani na nyingine nyingi






pia wasanii hawakuwa mbali pia walitumbuiza


Rais wa zanzibar pia alihudhuria


pia kikwete alimpa sapota magufuli kabla ya yeye kusimama


hii ni ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi walio kabidhiwa na kikwete wakiionesha kwa wanachama wao

No comments: